HabariLeo Tanzania Standard Newspapers

  • TBS yahimiza ubora wa bidhaa
    by Brighter Masaki on April 3, 2026 at 10:29 am

    WAWEKEZAJI na wazalishaji nchini wametakiwa kutumia huduma za Shirika la Viwango Tanzania (TBS), hususan katika sekta ya vipimo, ili kuimarisha ubora wa bidhaa zinazozalishwa nchini. The post TBS yahimiza ubora wa bidhaa first appeared on HabariLeo.

  • Fountain Gate yasaini dili nono na PigaBet
    by Na Mwandishi Wetu on April 3, 2026 at 8:46 am

    DAR ES SALAAM; TIMU ya Fountain Gate imeingia mkataba wa miaka minne na kampuni ya michezo ya kubashiri ya PigaBet kuwa mdhamini mkuu ili kuimarisha ushindani kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara. Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa hafla hiyo Rais wa Fountain Gate, Japhet Makau alisema makubaliano hayo yana thamani ya zaidi ya shilingi … The post Fountain Gate yasaini dili nono na PigaBet first appeared on HabariLeo.

  • Iran, Israel zazidisha mashambulizi ya makombora
    by Mwandishi wetu on April 3, 2026 at 8:46 am

    MAPIGANO kati ya Iran na Israel yameendelea huku pande hizo zikishambuliana kwa makombora na droni. The post Iran, Israel zazidisha mashambulizi ya makombora first appeared on HabariLeo.

  • Vyombo vya Ulinzi na Usalama: Nguzo ya amani, utulivu na maendeleo ya taifa
    by Mwandishi wetu on April 3, 2026 at 8:17 am

    KATIKA muktadha wa maendeleo ya taifa lolote lile, amani, utulivu na usalama ni misingi isiyoweza kutenganishwa na ustawi wa jamii. Bila uwepo wa mazingira salama, ni vigumu kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii, kiuchumi na kisiasa. The post Vyombo vya Ulinzi na Usalama: Nguzo ya amani, utulivu na maendeleo ya taifa first appeared on HabariLeo.

  • Waziri Kapinga: Kiwanda cha vifungashio kitachochea ajira
    by Na Mwandishi Wetu on April 3, 2026 at 5:11 am

    DAR ES SALAAM; WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema uanzishwaji wa kiwanda kipya cha kutengeneza vifungashio unaofanywa na Kampuni ya SBC Tanzania Ltd kutachochea ajira kwa vijana mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma. Waziri Kapinga ametoa kauli hiyo alipotembelea kiwanda  cha  Kampuni ya SBC Tanzania Ltd inayozalisha pia vinywaji vya Pepsi na … The post Waziri Kapinga: Kiwanda cha vifungashio kitachochea ajira first appeared on HabariLeo.

April, 2026

Latest Video

Latest News